YANGA YAIBAMIZA EL-SALAM YA SUDANI KUSINI MABAO 7-1

 Ubao wa Uwanja wa Taifa, ulivyokuwa ukionesha matokeo baada ya mechi ya Yanga na Eli- Salaam ya Sudani Kusini katika mashindano ya Kombe la Kagame
 Mchezaji Ismail Juma (kushoto) wa Sudan Kusini, akigombea mpira na  Khamis Kiiza wa Yanga.

 Mchezaji Hamis Kiiza (katikati) wa Yanga, akitaka kuwatoka wachezaji wa El-Salam Wau ya Sudan Kusini katika mashindano ya Kombe la Kagame, jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda mabao 7-1.
                                   Mwenyekiti mpya wa Yanga, Yusufu Manji akishuhudia pambano la Yanga na El Salam

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI