MTEMVU AELEZEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KATA YA YOMBO VITUKA

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (wa pili kulia) akishangiliwa na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alipokuwa akienda jukwaani kuhutubia kuelezea utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Kata ya Yombo Vituka, Dar es Salaam juzi.
 Mtemvu akipanda jukwaani huku akisindikizwa na wanachama eneo la Lumo, Yombo Vituka
 Mtemvu akihutubia
 Msanii wa Kikundi cha Sanaa cha Machozi, Mwajuma Seleman akionesha umahiri wake wa kucheza sarakasi.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
 Wasanii wa kikundi cha sarakasi cha Machozi, Neema Maganga na Kassim Ali wakifanya mambo wakati wa mkutano huo
 Diwani wa Kata ya Yombo Vituka, Kapteni Kenedy Makinda akihutubia na kuelezea mafanikio ya miradi mbalimbali ikiwemo ya miundo mbinu katika kata hiyo.
 Wafuasi wa CCM wakicheza kwa furaha wakat wa mkutano huo
 Katibu Mwenezi wa Wilaya ya Temeke, Masungu Mkalimtu akihutubia katika mkutano huo
 Katibu Mwenezi, Masungu Mkalimtu  akikabidhi kadi ya uanachama kw mwanachama mpya Abdalah Kazimali
 Wanachama wapya wakila kiapo cha CCM cha utii
Mtemvu (katikati) akila kiapo cha utii cha CCM pamoja na viongozi wengine wa CCM katika mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾