MTEMVU AMPONGEZA BARETTO KUFANIKISHA MSAADA WODI YA WAZAZI TEMEKE

 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke, Dk. Amaani Kighoma (kushoto) na Muuguzi Kiongozi wa Wodi ya Wazazi ya hospitali hiyo, Magreth Zacharia (kulia) wakipokea sehemu ya msaada wa glovu na nailoni za uzazi zenye thamani ya sh. mil. 5, zilizotolewa na Mwasisi wa Taasisi ya African Malaika, Fiona Barretto (wa pili kushoto). Anayeshudia hafla hiyo iliyofanyika hospitalini hapo juzi, ni Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu.
 Mtemvu, Baretto na Kighoma wakitoka baada ya kutoa msaada
 Mtemvu akimfariji mama ambaye alifiwa na mdogo wake aliyekuwa anajifungua katika Hospitali ya Temeke
Mtemvu akitoa mkono wa pole kwa mama mfiwa.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA WA KAMANDA WA MATUKIO BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO