MWILI WA MAMAKE UFOO SARO UKITOLEWA MUHIMBILI KWENDA KUAGWA KIBAMBA

 Jeneza lenye mwili wa mamake mzazi wa Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro, marehemu Anastazia Peter Saro likiwekwa kwenye gari leo katika Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam ukipelekwa kwake Kibamba kuagwa tayari kusafirishwa kwa maziko nyumbani kwao Arusha.Ufoo na mamake walipigwa risasi na mpenzi wake Ufoo kitendo ambacho kilisababisha mauti kwa mama huyo na ufoo kujeruhiwa tumbo. PICHA NA MDAU KHAMIS MUSSA





Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

NGUVU YA UJASUSI WA TANZANIA KITOVU CHAKE NI IRINGA TANGU ENZI ZA MKWAWA