TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 59 ZA KUCHIMBA KISIMA CHA MAJ KITUO CHA AFYA PUGU KAJIUNGENI

 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Jesca Njau (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 59, Meneja wa Kampuni ya Mrisho Drilling Water, Omari Mtundu kwa ajili gharama ya kuchimba kisima cha maji katika Kituo cha Afya cha Pugu Kajiungeni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Anayeshudia katikati ni Mganga Mkuu wa Kituo hicho, Dk. Honest Lyimo.
 Mama mjamzito mkazi wa Pugu Kajiungeni, Resistuta Ernest akishukuru baada TBL kutoa msaada huo
 Baadhi ya majengo ya Kituo hicho cha afya cha Pugu Kajiungeni
 Dk. Lyimo akionesha sehemu patakapochimbwa kisima
Meneja Uhusiano wa TBL, Doris Malulu akielezea mipango ya TBL kusaidia kutatua tatizo sugu la maji katika sekta ya afya, Dar es Salaam.Kushoto ni Dk. Lyimo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾