Posts

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU CBE HAI, KILIMANJARO

  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga chuo kikubwa Cha Uhasibu CBE Kampasi ya Kilimanjaro. Amesema Chuo hicho kitakachojengwa wilayani Hai mkoani humo kitasaidia kuchochea uchumi wa wananchi. Aidha, DKT. Samia amesema kuwa endapo Wananchi watampatia ridhaa ya kuongoza tena Nchi kwa kumchagua katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29 mwaka huu watajenga barabara ya mchepuko Bypass ya Kahe - Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Ametoa ahadi hizo alipokuwa akijinadi katika mkutano wa kampeni za CCM kwenye Uwanja wa Mashujaa Moshi Mjini leo Oktoba Mosi, 2025.

MAMBO YAMEPAMBA MOTO KAMPENI ZA DKT. SAMIA HAI

KAMPENI ZA DKT SAMIA ZATIKISA KILIMANJARO

KABILA AHUKUMIWA KIFO

SERIKALI KUNUNUA MTANBO WA KUONDOA MAGUGU MAJI ZIWA JIPE -DKT. SAMIAI

NMB YAZINDUA TAWI MAALUM LA NMB TINDE MNADANI

KANDA YA KASKAZINI WAAHIDI KUMPA DKT. SAMIA KURA ZA KUSHAMGAZA

MAMBO YAMEIVA KAMPENI ZA DKT SAMIA SAME, KILIMANJARO

MAMBO YAMEKUWA MAMBO KAMPENI ZA DKT. SAMIA MOMBO

KOROGWE KUMECHANGAMKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA

KAMPENI ZA DKT. SAMIA ZINAINGIA LEO KILIMANJARO

TUTAJENGA KIWANDA CHA KUCHAKATA MACHUNGWA MUHEZA - DKT. SAMIA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM