Posts

BASHE AMSHUKURU MUNGU, ATOA SHUKRANI KWA RAIS

Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini na aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ametoa kauli yake rasmi muda mfupi baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutangaza Baraza jipya la Mawaziri kwa mwaka 2025–2030, ambapo jina lake halimo katika orodha ya walioteuliwa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Bashe ameanza kwa kumshukuru Mungu na kuonesha shukrani kubwa kwa Rais Samia kwa imani aliyooneshwa kwake katika kipindi cha awamu ya kwanza ya uongozi wake, akimpa nafasi kwanza kama Naibu Waziri, kisha Waziri wa Kilimo. “Ni heshima niliyothamini kwa moyo wangu wote, na ninaendelea kuwa mwenye shukrani kwa nafasi hiyo ya kuwatumikia Watanzania,” ameandika. Akimpongeza Waziri mpya wa Kilimo, Daniel Chongolo, Bashe amesema anamfahamu kama “mzalendo na mkulima,” na anaamini atamsaidia Rais kutimiza matarajio ya Watanzania. Pia amempongeza Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde, akisema hana mashaka naye na anamfahamu kama “mzazi na mtu atakayekuwa msaada mkubwa...

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI HILI HAPA

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

SPIKA ZUNGU AFUNGUA MAFUNZO KWA WABUNGE

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

POLISI YAMNASA MWANAJESHI RAIA WA KENYA, MAREKANI AKIINGIA NA MABOMU NCHINI

MHANDO ALA KIAPO CHA UTIIFU NA UZALENDO BUNGENI

DKT. MDAKU ALIVYOAPA KIAPO CHA UTIIFU NA UZALENDO BUNGENI

RAIS DKT. SAMIA: WATANZANIA TUENDELEE KULIOMBEA TAIFA LIDUMU KATIKA AMANI

MAKAMU WA RAIS AKIREJEA NCHINI BAADA YA MKUTANO WA MAZIWA MAKUU

TANZANIA YANUFAIKA NA MRADI WA UCHUMI WA BULUU

AFA BACHELA KWA KUCHAGUA MKE ALIYEKAMILIKA

BARAZA LA MAASKOFU (TEC) MNATUKOSEA SANA WAKATOLIKI.

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI